Mwendesha baiskeli Elvis Munis “Lelo” ambaye ameendesha baiskeli jumla ya nchi 47, kilomita 28,000 kutoka Chile hadi Kilimanjaro (Chile to Kili) akipokewa mjini Arusha juzi, Mwendesha baiskeli huyo amezunguka nchi mbalimbali kwa lengo kuhamasisha kuchangia mfuko wa kusomesha wanafunzi kupitia mpango wa CRC, safari yake ilipata udhamini kutoka kampuni ya simu za Mikononi Tigo.
Home
Unlabelled
TIGO YADHAMNINI SAFARI YA MWENDESHA BAISKELI TOKA CHILE HADI KILIMANJARO, TANZANIA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments: