Juzi Juni 8, 2014 majira ya saa 6 mchana maeneo ya Kahama, Shinyanga nilikutana na jambo ambalo kiukweli nilishindwa kulielewa kwani ni nini hiki? Tulikutana na jamaa amebeba Jeneza kwenye pikipiki. Jambo hili lilinistajabisha na kujikuta nikiwauliza wenzangu inamaana ugumu wa maisha umetufanya mpaka tumekuwa wabunifu kiasi hiki.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

1 comments:

  1. kwani cha ajabu ni nn! si ni balance na ikawepo. na je uliukiza kama kuna mwili au lipo tupu? wewe umezoea linabebwa kwa kutumia nn

    ReplyDelete