Wakili wa kituo cha Haki za Binadamu (LHRC), Hamisi Mkindi akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za kituo hicho zilizopo Kijitonyama, Dar es Salaam kuhusiana na uchaguzi mdogo uliofanyika Chalinze na kusema kulikua na ukiukaji wa haki za binadamu ikiwemo vyombo vya habari kuripoti zaidi upande mmoja.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: