Wamiliki wa Hoteli za kitalii mjini Bagamoyo wamelalamikia uongozi wa wa Halmashauri ya mji huo, kwakutojali uchangiaji wa mapato yatokanayo na wageni wanaokwenda katika mahoteli kutokana na kuweka kifusi cha mchanga zaidi ya miezi miwili bila kusambazwa hivyo kufanya wageni kushindwa kuenelea na shughuli zao.
Wakiongea kwa wakati tofauti walisema kuwa wanaushangaa uongozi wa halmshauri kususia barabara hizo na kuziacha katika hali isiyoridhisha.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: