Washindi wa Music Masters competition Ibrahim Kowero (kulia) na Issah Mwilima katika picha ya pamoja kwenya hafla fupi ya kuwaaga kabla hawajakwea pipa kwenda Dubai kushuhudia Heineken Music event (Live at Atlantis) tarehe 21 Machi 2014. Pia tarehe 22 washindi hawa watafanya ziara kwa vivutio mbalimbali Dubai ikiwemo kufanya manunuzi kwenye Dubai Mall inayofahamika duniani kwote.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: