Katibu tawala wilaya Kongwa, Bw Joseph Kisyeli, akimywesha mtoto uji ulioongezwa virutubishi, katika kampeni za uhamasishaji wa chakula cha mtoto chenye virutubishi,katika kata ya ngomai. Zinazoendeshwa na USAID Tuboreshe Chakula ambazo zinaendelea leo
Katibu Tawala wa Wilaya ya Kongwa, Bw Joseph Mwita Kisyeli, akihutubia wananchi juu ya umuhimu na faida za chakula kilichoongezwa virutubishi,kwa mtoto miezi 6 - miaka 5,katika kampeni ya lishe ilizofanyika kata ngomai wilaya ya Kongwa leo chini ya udhamini wa na USAID Tuboreshe Chakula
Kikundi maarufu cha ngoma wilaya kongwa kata ya ngomai, kikitumbuiza wakati wa sherehe za uzinduzi wa kampeni ya uhamasishaji wa virutubishi zinazoendeshwa na USAID Tuboreshe Chakula katika kata ya Ngomai wilayani Kongwa.
Katibu tawala wa wilaya ya Kongwa na viongozi wenzake wakipata elimu zaidi kwa kusikikiza wataalamu wa lishe kutoka mradi wa USAID Tuboreshe Chakula katika kampeni za lishe zinazoendelea wilayani humo.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: