Matokeo ya Michuano ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) 

Ruvu Shooting 1-1 Simba mtanange umepigwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

JKT Ruvu 2-1Kagera Sugar kipute kililia kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam.

Coastal Union 0-0 Azam walivutana shati kwenye Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.

Oljoro JKT 2-1Mbeya City kipute kilipigwa Uwanja wa Kumbukumbu ya Sheikh Kaluta Amri Abeid jijini Arusha.

Ligi hiyo itaendelea kesho Jumapili (Oktoba 6 mwaka huu) kwa mechi kati ya Yanga na Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wakati Mgambo Shooting 0-0 itaialika Tanzania Prisons kwenye Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: