Maduka yakiwa yamefungwa 
 Wafanya biashara wakiwa uwanjani kungoja kusikiliza nini  hatma yao
 Baadhi ya watu wakiwa wanakimbia Baada ya Mabomu ya machozi kuanza kurushwa kuepusha vurugu
 Mawe yakiwa yamepangwa kuzuia magari yasiende kokote
 Maduka yote yakiwa yamefungwa eneo la mwanjelwa kupinga ununuzi wa mashine hizo za TRA
 Vijana hawa wakiwa wana nawa uso baada ya Bomu la machozi kuwapitia 
 Jiwe kubwa likiwa limewekwa katika Barabara magari yasipite
 Hali tete Tayari vijana wameanza kuchoma mataili.

Hali ya amani Imerejea jijini Mbeya muda huu baada ya Jeshi la Polisi Kudhibiti Vurugu hizo ambazo wafanya Biashara waliandamana kupinga Bei za Mashine za TRA, Utulivu huo umetokea baada ya Jeshi la Polisi Kutangaza kuwa kila mtu arejee kwao na kuwasihi wananchi wasifanye tena fujo hizo.

Picha na habari zote kwa hisani ya Mbeya Yetu.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: