Mheshimiwa Balozi, Peter Kallaghe, akipokea zawadi ya CD na DVD kutoka kwawanamuziki maarufu wa Kimataifa wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha na Mumewe Bwana Emmanuel Mbasha. Waimbaji hao wa nyimbo za injili hao wakiwa nchini Uingereza, walitembelea Miji ya Glasgow, Chemsford na Reading.


Toa Maoni Yako:
0 comments: