Baadhi
ya wadau wakiwa na wanachama wa Chama cha Wanasheria wanawake Tanzania
(TAWLA) wakiwa mkutano jana jijini Dar es salaam ulikuwa unajadili
matokeo ya utafiti kuhusu migogoro ya ardhi inawakabili wanawake .
Mkutano huo ulikuwa na lengo la kupatia matokeo ya utafiti ulifanyika
katika Mkoa wa Dare s salaam na Tanga ulifadhiliwa na TAWLA.
Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi Wilaya ya Kinondoni Charles Mnzava (kulia) akichangia mjadala jana
jijini Dare s salaam kuhusu matokeo ya utafiti kuhusu migogoro ya ardhi
inawakabili wanawake . Mkutano huo ulikuwa na lengo la kupatia matokeo
ya utafiti ulifanyika katika Mkoa wa Dare s salaam na Tanga ulifadhiliwa
na TAWLA. Kushoto ni Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi wilayani Ilala
Raphael David.
Jaji wa Mahakama Kuu Patricia
Fikirini(kulia) akitoa maoni yake jana jijini Dar es salaam kuhusu
mjadala kuhusu matokeo ya utafiti kuhusu migogoro ya ardhi inawakabili
wanawake . Mkutano huo ulikuwa na lengo la kupatia matokeo ya utafiti
ulifanyika katika Mkoa wa Dare s salaam na Tanga ulifadhiliwa na TAWLA.
Kushoto ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa Mstaafu Eusebia Munuo.
Mwenyekiti wa Chama cha Wanawake wanasheria Tanzania (TAWLA) Aisha Bade (kulia) akitoa ufafanuzi jana mjini Dar es salaam kuhusu
matokeo ya utafiti kuhusu migogoro ya ardhi inawakabili wanawake .
Mkutano huo ulikuwa na lengo la kupatia matokeo ya utafiti ulifanyika
katika Mkoa wa Dare s salaam na Tanga ulifadhiliwa na TAWLA. Kushoto ni
Hakimu Mkazi Wilaya ya Ilala Tarsua Kesoka.
Picha na Tiganya Vincent - MAELEZO-Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments: