Mshambuliaji wa mundu, Mfanyeje Ndalo akimiliki mpira mbele ya
walinzi wa Mtende, Mussa Juma (kushoto) na Jumanne Chikunde.
Walinzi wa timu ya mtende Mussa Juma (kushoto) na Jumanne Chikunde
wakimzuia mshambuliaji wa Mundu, Mfanyeje Ndalo jana kwenye uwanja wa
Amaan zanzibar. Mtende 2 Mundu 0.
Mshambuliaji wa Mundu, Ibrahim Rajab (mbele) akipambana na Ali Salum wa Mtende, ligi kuu ya Grand malt ya
zanzibar jana. Mtende ilipata ushindi wa mabao 2-0.
Picha na Martin Kabemba
Toa Maoni Yako:
0 comments: