Wenyeji wa eneo la Elgeyo Marakwet wanaishi katika hali ya wasiwasi baada ya bonde la Elgeyo marakwet huko Keiyo nchini Kenya kufanya nyufa ardhini na kuibua hofu yakuporomoka. Kwa mujibu wa mkuu wa wilaya ya Keiyo Bw. Mohammed Abbas amekariri kuwa kuna haja ya wenyeji hao kuyahama makazi yao ili kuzuia maafa makubwa zaidi kuzuka. Mwanaisha Chidzuga wa KTN ana taarifa zaidi.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: