Mabondia Ramadhani Shauli
wa Tanzania (kushoto) na Gabliel Ochiang wa Kenya wakitunishiana misuli
baada ya
kupima uzito, Dar es salaam LEO kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika
KESHO
katika ukumbi wa friens Coner Manzese.
Baadhi ya
mabondia pamoja na viongozi wa mchezo wa ngumi
wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kupima uzito leo
Bondia Gabriel Ochiang
wa Kenya akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake na Ramadhani Shauli
kushoto. picha na www.superdboxingcoach. blogspot.com
Toa Maoni Yako:
0 comments: