Msanii anayetokea nyumba ya vipaji THT anajulikana kwa jina la DITTO, muda si mrefu anatarajia kuachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la KIDOGO.

Ditto anasema wimbo huo amemshirikisha msanii kutoka TMK Wanaume Family Mh. Temba, pia wimbo huo unapatika katika album yake mpya inayokwenda kwa jina la WAPO.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: