Bi. Ritha Paulsen ambaye amechaguliwa kuwa Balozi wa kujitolea, 'A Goodwill Ambassador' katika shughuli za utoaji Elimu kwa Umma katika kuhamasisha madereva na abiria wa pikipiki kuvaa kofia ngumu kila wapandapo vyombo hivyo.
Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Helment Vaccine Initiative Tanzania Bw. Alpherio Nchimbi, Kamanda wa kikosi cha usalama bara barani nchini Mohammed Mpinga , Bi. Ritha Paulsen ambaye amechaguliwa kuwa Balozi wa kujitolea, 'A Goodwill Ambassador' katika shughuli za utoaji Elimu kwa Umma katika kuhamasisha madereva na abiria wa pikipiki kuvaa kofia ngumu kila wapandapo vyombo hivyo. Hiyo ilikuwa ni katika ukumbi wa habari maelezo jijini Dar es Salaam wakati wakimtangaza Bi. Ritha Paulsen ambaye amechaguliwa kuwa Balozi wa kujitolea.
---
Jeshi la Polisi nchini imetoa wito kwa wafanyabiashara wanaoagiza pikipiki kutoka nchi za nje kuhakikisha wanaagiza kofia mbili ngumu kwa kila pikipiki inayoingia nchini na kuhakikisha kofia hizo zinakidhi matakwa ya shirika la viwango nchini TBS.

Kamanda wa kikosi cha usalama bara barani nchini Mohammed Mpinga amesema waagizaqji wanapaswa kujali maisha ya wateja wao kwa kuwaletea kofia zenje ubora unaostahili, hali ambayo itahamasisha uvaaji wa kofia hizo sambamba na kuokoa maisha ya watumiaji wa usafiri huo.

Hali inaonyesha kwa mwaka watu zaidi ya milioni 1.3 wanapoteza maisha na watu wapatao milioni 50 hupata vilema vya kudumu kote ambapo mwaka 2010 pekee watu wapatao 3582 walipoteza maisha, majeruhi 20,656 kutokana na ajali zilizotokea 24,6665.

Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: