Msanii mkongwe wa muziki nchini,Lady Jay Dee akiwa na tuzo zake mbili alizojishindia,moja iliwa ni ya Wimbo Bora wa Afrika Mashariki na nyingine ni Msanii Bora wa Kike.-----
Sikuweza kufika kwenye tuzo za Kili kwakuwa sikupatiwa mwaliko, niliogopa kuzamia.
Nadhani walinisahau......... Tehe tehe tehe
Hata mwakilishi wangu yoyote pia hakuwepo ila Shabiki mmoja wapo alinipokelea na kuniletea Nyumbani Lounge
La muhimu zaidi nashukuru sana Watanzania wote mlionipigia kura, sina cha kuwalipa zaidi ya Asante
Nashukuru wote mnaoendelea kuamini kuhusu JayDee
Tuko pamoja siku zote.
Nashukuru na waandaji pia... Mbarikiwe wote
Nadhani walinisahau......... Tehe tehe tehe
Hata mwakilishi wangu yoyote pia hakuwepo ila Shabiki mmoja wapo alinipokelea na kuniletea Nyumbani Lounge
La muhimu zaidi nashukuru sana Watanzania wote mlionipigia kura, sina cha kuwalipa zaidi ya Asante
Nashukuru wote mnaoendelea kuamini kuhusu JayDee
Tuko pamoja siku zote.
Nashukuru na waandaji pia... Mbarikiwe wote


Toa Maoni Yako:
0 comments: