Msanii mkongwe wa muziki nchini,Lady Jay Dee akiwa na tuzo zake mbili alizojishindia,moja iliwa ni ya Wimbo Bora wa Afrika Mashariki na nyingine ni Msanii Bora wa Kike.
-----
Sikuweza kufika kwenye tuzo za Kili kwakuwa sikupatiwa mwaliko, niliogopa kuzamia.
Nadhani walinisahau......... Tehe tehe tehe
Hata mwakilishi wangu yoyote pia hakuwepo ila Shabiki mmoja wapo alinipokelea na kuniletea Nyumbani Lounge

La muhimu zaidi nashukuru sana Watanzania wote mlionipigia kura, sina cha kuwalipa zaidi ya Asante
Nashukuru wote mnaoendelea kuamini kuhusu JayDee
Tuko pamoja siku zote.

Nashukuru na waandaji pia... Mbarikiwe wote
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: