Kiongozi wa kikuu chama cha upinzani nchini Zimbabwe(MDC) Morgan Tsvangirai
Pichani, anatarajia kutua jijini Dar es salaam muda wowote kuanzia sasa kwa kile kinachoelezwa kuja kuleta malalamiko kwa Rais Jakaya Kikwete ambaye ni mwenyekiti wa Umoja wa Africa(AU) juu ya hali ya kisiasa nchini zimbambwe baada ya uchaguzi mkuu uliyofanyika nchini humo
hivi karibu ambapo chama cha (MDC) kuibuka na ushindi mkubwa kwa upande wa viti vya wabunge na kusababisha Rais Rober Mugabe kutia ngumu kutoa matokeo ya kiti cha uraisi mpaka sasa.
Pichani, anatarajia kutua jijini Dar es salaam muda wowote kuanzia sasa kwa kile kinachoelezwa kuja kuleta malalamiko kwa Rais Jakaya Kikwete ambaye ni mwenyekiti wa Umoja wa Africa(AU) juu ya hali ya kisiasa nchini zimbambwe baada ya uchaguzi mkuu uliyofanyika nchini humo
hivi karibu ambapo chama cha (MDC) kuibuka na ushindi mkubwa kwa upande wa viti vya wabunge na kusababisha Rais Rober Mugabe kutia ngumu kutoa matokeo ya kiti cha uraisi mpaka sasa.
Toa Maoni Yako:
0 comments: