Mwandishi wa habari mwandamizi wa kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd, Imelda Mtema (kushoto) akimkabidhi Bi. Sophia Lupelete (kulia) msaada wa Shilingi 300,000/= (laki tatu) ambazo zimetolewa na wafanya biashara, Amri Premji na Nuresh Vellani ili kumsaidia mama huyo kulea watoto wake watatu wenye ulemavu,katikati ni Afisa utawala wa kampuni hiyo.
Home
Unlabelled
HAWA WATOTO WAPATA MSAADA GLOBAL PUBLISHER
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments: