Mwandishi wa habari mwandamizi wa kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd, Imelda Mtema (kushoto) akimkabidhi Bi. Sophia Lupelete (kulia) msaada wa Shilingi 300,000/= (laki tatu) ambazo zimetolewa na wafanya biashara, Amri Premji na Nuresh Vellani ili kumsaidia mama huyo kulea watoto wake watatu wenye ulemavu,katikati ni Afisa utawala wa kampuni hiyo.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: