Menaja Masoko wa Kampuni ya Tiketi Media, Bw. Harold Mwakasala.
Katika ushindani wa kujitangaza kuna makampuni mengi yakiwemo hasa yale ya Magazeti, Television, Radio na Mabango.
Kwa sasa kuna ujio mpya wa kuweza kujitanga ambapo imekuwa rahisi na ujumbe kufika kwa urahisi zaidi na ukijumuisha watu wengi.
Kutokana na hilo Kampuni ya Tiketi Media ndiyo iliyoingia nchini kwa namna yake ya ajabu.
Kampuni hii inayojushughulisha na matangazo kwa njia ya tiketi ambapo mtu inakuwa rahisi sana kupata ujumbe kwa njia hii.
Kampuni hii imeanzishwa mwaka 2006 na kuanza rasmi matangazo mwaka 2008.
Tangazo lake la kwanza lililorushwa na tiketi medii ni la kampuni ya Simu ya mkononi TiGO linalosema shinda safari ya Valentine.
Unaweza kuwasiliana nao kwa simu no 0713 604432
Toa Maoni Yako:
0 comments: