Hapa ndio machimbo ya Mererani kama yanavyoonekana, pesa ndiko inakopatikana.
Baada ya migodi ya Mererani kufungwa wachimbaji wa madini (Wanaapolo) maisha yamekuwa magumu na sasa wameanza kutafuta mabaki ya mchanga uliotupwa kutoka kwenye mashimo ili kuangalia kama wataambulia kajiwe cha kuwatoa kwa siku kadhaa.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: