Wote mnakaribishwa.
Moja ya waimbaji wa muziki wa injili kutoka mjini Arusha, Jackson Benty ambaye ametokewa kupendwa na watu mbali mbali pande ya zote za dunia kutokana na uzuri wa nyimbo zake anazotunga. Benty ameendelea kutesa kwenye chat ya muziki licha ya mwimbaji mwezake Bonny Mwaitege kuonekana kwa sasa kuwa ndiye kinara na wimbo wake wa 'Mtanitambuaje?'. Ili uweze kupata habari zake nyingi endelea kutembelea blog hii.
Moja ya waimbaji wa muziki wa injili kutoka mjini Arusha, Jackson Benty ambaye ametokewa kupendwa na watu mbali mbali pande ya zote za dunia kutokana na uzuri wa nyimbo zake anazotunga. Benty ameendelea kutesa kwenye chat ya muziki licha ya mwimbaji mwezake Bonny Mwaitege kuonekana kwa sasa kuwa ndiye kinara na wimbo wake wa 'Mtanitambuaje?'. Ili uweze kupata habari zake nyingi endelea kutembelea blog hii.

Toa Maoni Yako:
0 comments: