Mtafiti kutoka REPOA, Blandina Kilama akizungumza na Waandishi wa Habari kufafanua jambo juu ya umuhimu wa mada hiyo Tanzania kuelekea Uchumi wa Viwanda.
Mtafiti Kutoka REPOA,Dk Jamal Msami, akieleza namna uchumi wa viwanda unavyoleta tija kutokana na tafiti zilizofanywa nchini.
Sehemu ya Waandishi wa Habari na wadau wengine walioshiriki katika Mkutano huo.


Toa Maoni Yako:
0 comments: