Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpongeza Mwenyekiti Mpya wa UVCCM Kheri James, nje ya Ukumbi wa Chuo cha Mipango, mjini Dodoma Desemba 11, 2017 (katikati) ni Katibu wa CCM, Abdulrahman Kinana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

MATOKEO UCHAGUZI UVCCM TAIFA 2017

1. Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Tanzania 2017-2022 ni Ndugu Kheri Denice James.

2. Nafasi ya Makamu Mwenyekiti...

Kura halali 565

Thabia Mwita 286 (Mshindi)

Rashid Mohamed Rashid 282

3. Wajumbe wa NEC kutoka Tanzania Bara..

Sophia Kizigo

Musa Mwakitinya

Keisha

4. Wajumbe 2 kwenda Halmashauri Kuu ya Taifa kutoka Zanzibar..

Abdallaghari Idrisa Juma

Maryam Mohamed Khamis

5. Wawakilishi kutoka Tanzania Bara kwenda Baraza kuu UVCCM Taifa nafasi 3..

Rose Manumba

John Katarahiya

Secky Katuga

6. Wawakilishi kutoka Zanzibar kwenda Baraza kuu UVCCM Taifa

Nasra haji

Abdallah Rajabu


7. Mshindi nafasi ya Uwakilishi kutoka Vijana kwenda Jumuiya ya Wazazi ni AMIR MKALIPA.

8. Mshindi nafasi ya Uwakilishi Vijana kwenda UWT ni DOTO NYIRENDA.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: