![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgMH_OvPtyuMMU3qhih6pxqBs7W4smujIHfKlkyTQuc00KdRLQwCy35F8xkiubRrzB7YCqQ6xOPZivYoOjZMjqMracFHYuMsTaiRnkMSeG_Ak4QWD1MhiGCphb-0dnl594rq8iqhA1onMg/s640/A.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mhe. Ayoub Mohamed Mahmoud mara alipowasili katika viwanja vya Ukumbi wa Zamani wa Baraza la Wawakilishi Mnazi mmoja Mjini Unguja katika Semina ya Viongozi na Waandishi wa habari wa Vyombo vya Serikali iliyofanyika leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments: