Waziri wa Nchi wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba (Kushoto) akiongea na Mwakilishi wa Benki ya Dunia nchini Bi. Bella Bird. Mazungumzo hayo yamefanyika hii leo Mtaa wa Luthuli Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba (Kushoto) akiongea na Mwakilishi wa Benki ya Dunia nchini Bi. Bella Bird. Mazungumzo hayo yamefanyika hii leo Mtaa wa Luthuli Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Prof. Faustin Kamuzora.
---
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. January Makamba hii leo amekutana na Mwakilishi wa Benki ya Dunia nchini Bi. Bella Bird. Katika mazungumzo yao Mwakilishi huyo wa Benki ya Dunia ameahidi kuisaidia Tanzania katika Sekta ya Mazingira ikiwa ni pamoja na uhifadhi wa mifumo ya ikolojia na bioanuai, pamoja na kulijengea uwezo Baraza laTaifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC).
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: