Gavana wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Servicus B.Likwelile ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali na Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bw. Aly Abou- Sabaa wakisaini mkataba wa Tsh 137.5 Billion kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo kwa serikali ya Tanzania. Sherehe hiyo ilifanyika hapa Mjini Abidjan- Ivory coast.
Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bw.Aly Abou – Sabaa na Gavana wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dkt. Servicius Likwelile wakipongezana mara baada ya kusaini mkataba wa Tshs 137.5 Billoni wa kusaidia kwenye sekta ya umeme na nishati nchini Tanzania.
Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bw. Aly Abou-Sabaa na Gavana wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dkt. Servicius Likwelile pamoja na wajumbe waliohudhuria katika hafla ya kutia saini mkataba wq kiasi cha Tsh. 137.5 Billion kwa ajili ya kusaidia miradi mbalimbali ya maendeleo hasa umeme nchini Tanzania.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: