Tukio limetokea leo Mei 18, 2015 majira ya saa jioni.... watu waliodhaniwa ni majambazi wamevamia benki ya NMB tawi la Bigbon - Sinza Mori na kupiga risasi za kutosha na kufanikiwa kupora fuko la hela, wakati wakitoka kukimbilia kwenye gari lao aina ya Toyota Harrier lililokuwa kwenye Parking, ndipo walipokamatwa palepale eneo la Tukio.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: