Kikao cha Kamati Kuu ya Baraza la Watoto chafunguliwa na Pindi Chana, Dodoma.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Dk. Pindi H. Chana (Mb) (katikati) akiwa na Mwenyekiti wa Baraza la Watoto Ameir Haji Khamis (kushoto) na Muweka Hazina wa Baraza hilo Haitham Juma (kulia) pamoja na Wajumbe wa Kamati Kuu wa Baraza la Watoto na Baadhi ya Walezi.
Naibu Waziri akimsikiliza Mwenyekiti wa Baraza la Watoto Ameir Haji Khamis wakati wa kikao hicho
Wajumbe wa Kamati Kuu wa Baraza la Watoto wakijadili baadhi ya mambo yanayowahusu watoto pamoja na changamoto zinazo wakabili.

Naibu Waziri alipohudhuria kikao hicho.
Picha zote na Hassan Mabuye
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: