Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez akimkabidhi mkuu wa wilaya Nyamagana Mhe. Baraka Konisaga, moja ya kompyuta 25 zilizotolewa msaada na kampuni ya Tigo kwa hospitali ya Sekou Toure Mkoani Mwanza leo asubuhi
Mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mhe. Baraka Konisaga akizungumza jambo na Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez, katikati ni Mwenyekeiti wa bodi ya hospitali ya Sekou Toure Mkoani Mwanza Christopher Mwita Gachuma mara baada ya kukabidhi komputa 25 kwa hospitali hiyo.
Meneja mkuu wa Tigo Diego Gutierrez akijadiliana jambo na mwenyekiti wa bodi ya Hospitali ya Sekou Toure Christopher Mwita Gachuma, kati kati ni meneja wa kanda ya ziwa Ally Maswanya
Meneja mkuu wa Tigo Diego Gutierrez akibadilishana mawazo na mkuu wa wilaya ya Nyamagana Mhe. Baraka Konisaga.
Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa kampuni hiyo jijini Mwanza mara baada ya kutoa msaada wa kompyuta 25 kwa hospitali ya Sekou Toure leo asubuhi
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: