Captain wa timu ya fastjet, Constantine Chacha akifunga goli kwa njia ya penati dhidi ya kipa wa timu ya NSSF kwenye mashindano ya clouds sports extra bonanza yalifanyika siku ya mei mosi kwenye viwanja vya leaders. NSSF walishinda kwa penati 5-4 na kuwafanya Fastjet kushika nafasi ya tatu kwenye bonanza hilo.
Mchezaji wa timu ya fastjet, Kelvin Newa akifunga goli kwa njia ya penati dhidi ya kipa wa timu ya NSSF kwenye mashindano ya clouds sports extra bonanza yalifanyika siku ya mei mosi kweny viwanja vya leaders. NSSF walishinda kwa penati 5-4 na kuwafanya Fastjet kushika nafasi ya tatu kwenye bonanza hilo.
Mchezaji wa timu ya fastjet, Kelvin Newa akifunga goli dhidi ya kipa wa timu ya Simbanet kwenye mashindano ya clouds sports extra bonanza yalifanyika siku ya mei mosi kwenye viwanja vya leaders. Fastjet walishinda jumla magoli 2-0
Wachezaji wa timu za Fastjet na Simbanet wakichuana katika mechi ya bonanza la clouds sports extra lililofanyika kwenye uwanja wa leaders siku ya mei mosi. Fastjet ilishinda kwa magoli 2-0.
Mwalimu wa timu ya fastjet, Kocha Diego akiwapa maelekezo wachezaji wake
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: