Mhe.January Makamba akipiga picha (selfie) nje ya Ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Tanga na Mbunge wa Viti Maalum Chadema Mhe. Hawa Bananga (kushoto) na Mhe. Julius Kalanga (kulia) ambaye ni Mbunge wa Monduli (Chadema). Mhe. January Makamba yupo mkoani Tanga katika ziara ya kikazi ambapo pia Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira ipo Mkoani hapo katika shughuli zake za kibunge. Picha na @imaninsamila
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: