Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba, akizungumza
na wakuu wa Taasisi na Idara za wizara (hawapo pichani), wakati wa
kikao cha kujadili masuala mbalimbali ya mipango na maendeleo ya wizara.
Kulia ni Naibu Waziri Mhandisi Hamad Masauni. Kikao hicho kimefanyika
leo katika ukumbi wa mikutano wa wizara, jijini Dar es Salaam. (Picha zote na
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi)
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba, akizungumza
na wakuu wa Taasisi na Idara za wizara (hawapo pichani), wakati wa
kikao cha kujadili masuala mbalimbali ya mipango na maendeleo ya wizara.
Kulia ni Naibu Waziri Mhandisi Hamad Masauni. Kikao hicho kimefanyika
leo katika ukumbi wa mikutano wa wizara, jijini Dar es Salaam.
Wakuu wa Taasisi na Idara za Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi; Jeshi la
Polisi, Jeshi la Magereza, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Idara ya
Uhamiaji, Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Idara ya Wakimbizi
pamoja na wakuu wa vitengo wizarani hapo wakimsikiliza Waziri wa wizara
hiyo, Mwigulu Nchemba, wakati kikao cha kujadili masuala mbalimbali ya
mipango na maendeleo ya wizara. Kikao hicho kimefanyika leo katika
ukumbi wa mikutano wa wizara, jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu, akizungumza wakati wa kikao cha kujadili masuala mbalimbali ya mipango na maendeleo ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi na Idara zake. Kikao hicho kiliongozwa na Waziri wa wizara hiyo, Mwigulu Nchemba (hayupo pichani). Kushoto ni Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Minja. Kikao hicho kimefanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa wizara, jijini Dar es Salaam.
IMEANDALIWA NA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI-WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI.






Toa Maoni Yako:
0 comments: