Mkuu wa kitengo cha huduma cha wateja Zakheem Khan akifurahi pamoja na mteja aliyejipatia zawadi ya simu katika kusherekea wiki ya huduma kwa wateja zilizofanyika katika duka la Tigo makumbusho mwishoni wa wiki hii.

Sehemu ya wateja wa Tigo wakipata huduma.

PichanI ni sehemu ya wateja wa Tigo wakipata huduma.

Wafanyakazi wa Tigo wakiwa na zawadi kwa ajili ya wateja katika duka la Makumbusho mapema mwishoni wa wiki hii.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: