Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Amos Makala na Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Chiku Galawa wakiangalia kupatwa kwa jua kwa miwani maalum katika eneo la Tazara Relini Rujewa Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya ambapo wageni na wananchi kutoka maeneo mbalimbali na mikoa ya jirani wakiwemo waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari kutoka ulaya wamekuja kushuhudia tukio hilo linalotokea kwa nadra. (PICHA NA JOHN BUKUKU - FULLSHANGWE-RUJEWA, MBEYA).
Meneja wa Masoko wa Bodi ya Utalii TTB Bw. Geofrey Meena akiangalia tukio la kupatwa kwa jua kwa miwani maalum wakati wa kushuhudia tukio hilo katika eneo la Taraza Relini Rujewa wilayani Mbarali.
Meneja Masoko wa TTB Bw. Geofrey Meena kulia pamoja na pamoja na wafanyakazi wenzake wa TTB kutoka kulia Gladstone MlayMkuu wa Utalii Kanda ya Ziw , Irene Mvile Afisa Utalii Habari na ErnestMususa Mhasibu wakishuhudia tukio hilo kwa pamoja.
(PICHA NA JOHN BUKUKU-FULLSHANGWE-RUJEWA-MBEYA).


Toa Maoni Yako:
0 comments: