Mkurugenzi mkuu wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso akiongea na watoto, wakati wa program maalum ya Airtel inayofanyika kila mwaka inayowawezesha watoto wa wafanyakazi wao kutembelea ofisi za Airtel na kupata wakati wa kujifunza na kuona mambo mbalimbali yanayofanywa na wazazi wao wakiwa ofisini kila siku.
Meneja huduma kwa wateja wa Airtel Tanzania, Delphina Msuya akiongea na watoto walipotembelea kitengo chake, wakati wa program maalum ya Airtel inayofanyika kila mwaka inayowawezesha watoto wa wafanyakazi wao kutembelea ofisi za Airtel na kupata wakati wa kujifunza na kuona mambo mbalimbali yanayofanywa na wazazi wao wakiwa ofisini kila siku.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: