Leo ni kumbukumbu ya miaka mitano (5) ya ndoa ya Bw. Cuthbert Noah na Bi. Matilda Cuthbert ambayo walifunga Agosti 6, 2016 jijini Dar es Salaam japo kwa sasa maisha kayahamishia jijini Mwanza. Mpaka sasa wameshapata matunda ya watoto watatu akiwemo Fredrick, Ronald na Catherine.

Kajunason Blog inapenda kuwapongeza kwa hatua kuwa mliyopiga, Mwenyezi Mungu azidi kuwasimamia na kuongeza baraka tele.
Bw. Cuthbert Noah akiwa na watoto wake Fredrick (kushoto) na Ronald (kulia).
Bw. Cuthbert Noah akiwa na mkewe Bi. Matilda Cuthbert  pamoja na watoto wao wakisherekea mafanikio ya ndoa.
Bw. Cuthbert Noah akiwa na watoto wake Fredrick (mwenye tisheti njeupe), Ronald (Tisheti Nyekundu) na binti yake Catherine aliyembeba.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: