Nyota wa soka aliyefanya vizuri michezo ya Shule za Sekondari (UMISETTA) Mussa Bakari akifurahia na wenzake alioungana nao katika kambi ya Kimataifa ya Copa Coca-Cola iliyopo jijini Paris nchini Ufaransa.
Musa Bakari akiwa katika nyuso ya furaha ndani ya kambi ya Kimataifa ya Copa Coca-Cola iliyopo jijini Paris nchini Ufaransa.
Bakari, mwenye miaka 16, ni mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Tirav iliyoko wilayani Temeke, ambaye amepata nafasi hiyo kwa udhamini wa Kampuni ya Coca-Cola.

Kambi ya Kimataifa ya Copa Coca-Cola imefanyika kuanzia 29 June hadi Jumatatu 4 Julai 2016.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: