Baadhi ya wafanyakazi wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, WCF, wakishiriki matembezi ya kilele cha siku ya Wafanyakazi Duniani (May day), hapa matembezi yakiwa barabara ya Nyerere jijini Dar es Salaam, Mei 1,
2016.
2016.
NA K-VIS MEDIA/Khalfan Said.
Wafanyakazi wa WCF wakipita mbele ya jukwaa kuu la uwanja wa Uhuruwakati wa matembezi ya kilele cha siku ya wafanyakazi Duniani
Matembezi yakiwa yameingia Uwanja wa Uhuru
Matembezi yakipita barabara ya Chang'ombe
Matembezi yakiendelea barabara ya Chang'ombe
Matembezi yakiwa barabara ya Uwanaja wa Taifa
Baadhi ya wafanyakazi wakiwa kwenye matembezi hayo, hapa nibarabara ya Chang'ombe
Baadhi ya wafanyakazi wa WCF, wakimsikiliza mwenzao aliyevaat-shirtyenye ujumbe maalum wa Mfuko huo “WCF inatoa Fidia Stahiki kwa Wafanyakazi wote wa Sekta ya Ummana Binafsi”.
Mkuu wa Mkoa wa Dar esSalaam, Mh. Paul Makonda, (kulia), akiteta jambo na kiongozi wa Shirikisho la Wafanyakazi mkoa wa Dar es Salaam, wakati wa kilele cha May Day uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa WCF wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kukamilisha matembezi hayo kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa WCF wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kukamilisha matembezi hayo kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.














Toa Maoni Yako:
0 comments: