Bwana Davis Gisuka na Bibi Dellynever Mlang'a wakiwa ndani ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Kimara - Korogwe jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kufunga ndoa yao takatifu. Picha zote na Kajunason Studio.
Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania akiwafungisha ndoa Bwana Davis na Bi. Dellynever Mlang'a.
Bwana Davis Gisuka asoma neno.
Bwana Davis Gisuka akimfunua mkewe Bi. Dellynever.
Bwana Davis Gisuka akimvalisha pete mkewe Bi. Dellynever Mlang'a.
Bi. Dellynever Mlang'a akimvalisha pete mumewe Bwana Davis Gisuka.
Nyuso za furaha mara baada ya kufunga pingu za maisha.
Bwana Davis Gisuka akila kiapo mbele ya mkewe Bi. Dellynever Mlang'a.
Bi. Dellyneva Mlang'a akila kiapo mbele ya mumewe Bwana Davis Gisuka.
Bwana Davis na Bi. Dellyneva wakibarikiwa na mchungaji.
Mchungaji akisaini kitabu.
Bwana Davis asaini cheti.
Bi. Dellyneva akisaini cheti.
Wasimamizi nao hawakuwa nyuma kuweka ushahidi wao.
Nderemo na vifiji vikitawala.
Mchungaji akiwakabidhi vyeti.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: