Makamu Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha (ATC) Mhandisi Dk Erick Mgaya akipanda mti wakati wa maadhimisho hayo eneo la Kikuletwa wilaya Hai mkoa wa Kilimanjaro.
Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Hai, mkoa wa Kilimanjaro, Said Mderu akipanda mti katika madhimisho hayo.
Baadhi ya wananchi wakimsikiliza Mkuu wilaya kabla ya kuanza upandaji miti kwa ajili ya kutunza mazingira.
Mkazi wa Kikuletwa akisikiliza kwa makini.


Toa Maoni Yako:
0 comments: