Kontena limedodoka kutoka katika lori, eneo la Kurasini jinini Dar es Salaam sababu ya kudondoka kwa kontena ni kutofungwa vizuri, wakati Wa kukata kona likadondoka kutokea kwenye gari. Hakuna madhala yoyote yaliyotokea kwa binadamu zaidi ya kuhatarisha maisha yao na wakazi wa maeneo ya kurasini na vitongoji vyake. Picha kwa hisani ya Mdau wa Kajunason Blog, Imani Ntila.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: