Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la watumiaji wa Huduma za Mawasiliano Ndugu Stanley Mwabulambo akitoa neo katika semina hiyo ya kuelimisha na kuhamasisha watumiaji wa Huduma za mawasiliano Mkoa Mbeya Desemba 15-2015 katika ukumbi wa Mkapa jijini mbeya.

Kaimu Katibu mtendaji Baraza la Ushauri watumiaji wa Huduma za Mawasiliano TCRA-CCC Ndugu Mary Msuya akiwasilisha maada kwa wanasemina juu ya haki na wajibu wa Mtumiaji wa huduma za Mawasilino katika semina hiyo yenye lengo la kuelimisha na kuhamsisha watumiaji wa huduma hizo Desemba 15 mwaka huu katika Ukumbi wa Mikutano Mkapa jijini Mbeya.
Mjumbe wa Baraza la Huduma za Mawasiliano (TCRA-CCC) Ndgugu Nyanda Shuli akitoa Maada juu ya Muundo ,Kazi na Majukumu ya Baraza la watumiaji wa Huduma za Mawasiliano katika semina ya kuelimisha na kuhamasisha watumiaji wa huduma za mawasiliano Mkoa wa Mbeya Desemba 15 mwaka huu katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mkapa jijini Mbeya.




Toa Maoni Yako:
0 comments: