Msimamizi mkuu wa Duka la Tigo Makumbusho Gissela Akaro akimkabidhi mteja wa Tigo, Gideon Mapunda mkazi wa Mbezi Luis fulana ikiwa sehemu ya kuadhimisha wiki ya huduma kwa mteja.
Mtaalam wa huduma kwa wateja wa Tigo Jackson Jerry akiongea na
wafanyakazi na wateja wa Tigo mara baada ya ufunguzi wa duka la Tigo
lililokarabatiwa makao makuu ya Tigo Makumbusho ikiwa sehemu ya
kuadhimisha wiki ya huduma kwa mteja.


Toa Maoni Yako:
0 comments: