Mtaalamu wa kudhibiti Ubora na Ukaguzi wa bia za Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Lydia Raphael (kulia), akifafanua jambo kwa Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Kanda ya Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi Peter Sima, alipotembelea kiwanda hicho akiwa na baadhi ya Maofisa na Askari kushiriki semina fupi ya wiki ya nenda kwa usalama na TBL.

Wakipata maelezo katika kitengo cha maabara kiwandani hapo
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Kanda ya Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Peter Sima (wa tatu kulia), akishikana mkono na Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dorice Malulu, baada ya Kamishna huyo na baadhi ya Maofisa na Askari kushiriki semina fupi ya nenda kwa usalama na TBL, Dar es Salaam
Maofisa wa TBL wakiwa katika picha ya pamoja na askari hao Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Kanda ya Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Peter Sima akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Maofisa wa Askari wa kikosi hicho na maofisa wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), baada ya kushiriki semina fupi ya wiki ya nenda kwa usalama, Dar es Salaam.


Toa Maoni Yako:
0 comments: