Mchumi Idara ya Uratibu wa Shughuli za Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Bw. Ali Mwatima akifafanua jambo kuhusu masuala ya maafa kwa wananchi waliotembelea Idara hiyo wakati wa Maadhimisho ya Sherehe za Wakulima (Nane Nane) tarehe 03 Agosti, 2015 katika viwanja vya Nzuguni Dodoma. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Mchumi Idara ya Uratibu wa Shughuli za Serikali Ofisi ya Waziri Mkuu Bw.Novatus Tesha (wa kwanza kulia) alielezea kitabu cha Taarifa ya Utekelezaji wa Mafanikio ya Serikali ya Awamu ya Nne kwa Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Sera na Mipango TAMISEMI Bw. Johnso L. Nyingi alipotembelea Idara hiyo Agosti 3, 2015 katika maonesho ya Nane Nane yanayoendelea katika viwanja vya Nzuguni Dodoma. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Wafanyakazi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa maonesho ya Sherehe za Wakulima (Nane Nane) yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni mjini Dodoma. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: