Naibu Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi (kushoto), akionesha Ripoti ya Hali ya Biashara ya Mazao yatokanayo na bioteknolojia ya kisasa ya mwaka 2014 baada ya kuizindua Dar es Salaam leo asubuhi. Kulia ni Mkurugenzi wa Utafiti na Maendeleo wa wizara hiyo, Dk.Fidelis Myaka.
Naibu Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi (kulia), akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Mhandisi Raphael Daluti Ripoti ya Hali ya Biashara ya Mazao yatokanayo na bioteknolojia ya kisasa ya mwaka 2014 baada ya kuizindua Dar es Salaam leo asubuhi.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika, Mhandisi Raphael Daluti (katikati), akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa ripoti hiyo.

Mkurugenzi wa Utafiti na Maendeleo wa wizara hiyo, Dk.Fidelis Myaka (kulia), akizungumza katika hafla hiyo.

Mtafiti Mkuu wa Kilimo wa Costech, Dk.Emmarold Mneney (kulia), akitoa mada fupi kuhusu maendeleo ya bioteknolojia katika uendelezaji wa Sekta mbalimbali hususan ya kilimo.

Kaimu Mkurugenzi wa Maarifa wa Tume ya Taifa ya Sayansi Teknolojia (Costech), Dk.Nicholas Nyange (kushoto), akizungumza katika uzinduzi huo.
Wadau wa sekta ya kilimo wakiwa kwenye uzinduzi huo.
Wanahabri wakichukua taarifa hiyo.
Wadau wa sekta ya kilimo wakifuatilia matukio mbalimbali kwenye uzinduzi huo.
Waziri Zambi na viongozi wengine wakiwa meza kuu.
Uzinduzi ukiendelea.
Wadau mbalimbali wakiwa kwenye uzinduzi huo.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: