Mbunge wa Jimbo la Temeke Abbas Mtemvu (kushoto) akifungua Mkutano wa wenyeviti , wenezi na wachumi wa matawi kilichofanyika kwa Jimi Agent Yombo Buza Dar es Salaam,   kuanzia kulia ni Katibu mwenezi Kata ya Miburani  Ally Kamtande,  Mwenyekiti Kata Kibondemaji Mbagala Mustafa Hakika na Mwenyekiti WA Chama cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Temeke Ahamad Mnamalla
 Sehemu ya wanachama wa Chama hicho
Katibu wa Mbunge Jimbo la Temeke  Abbas Mtemvu  Ally Meala kulia akiteta jambo na Katibu wa Uchumi wa Fedha wa Jimbo la Temeke Hussein Simba wakati wa Mbunge huyo wa temeke alipokuwa akifungua  Mkutano huo 
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: