Yule mgombea mwenye umri mdogo zaidi ambaye siku za karibuni amejizolea umaarufu mkubwa kwenye mitandao ya kijamii tangu achukue fomu ameanza kumwaga sera zake ambapo leo anazungumzia kuhusu ambavyo Watanzania wanatakiwa wafaidike na rasimali pia mipango ya kuboresha huduma za afya.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: