Kwa mfano wewe ni muuzaji wa duka, mteja anakuja na shilingi elfu moja (1,000/-) feki anataka kalamu ya shilingi 2,00/- ...wewe bila kujua unaichukua lakini unagundua hauna change ya kumpa mteja unaamua kwenda kuomba change kwa jirani yako na hiyo hiyo 1000 feki kisha unamrudishia mteja shilingi mia nane (800/-) na kalamu, lakini baadae jirani anakuja kukuambia ile pesa uliyompa ni feki unaamua kuichukua na kumpa shilingi 1,000/- halali. Je, utakuwa umepata hasara ya shilingi ngapi?

A. 1200

B. 1800

C. 1000

D. 2000

E. 800

F. 200

G. Majibu yote si sahihi
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

1 comments: