Mbunge wa Jimbo la Moshi mjini Philemoni Ndesamburo akimtambulisha Mstahiki
Meya wa Manispaa ya Moshi Jafary kuwa mrithi wake wa kiti cha ubunge katika jimbo hili wakati wa uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi oktoba.
Meya wa Manispaa ya Moshi Jafary kuwa mrithi wake wa kiti cha ubunge katika jimbo hili wakati wa uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi oktoba.
Ndesamburo akizungumza na wananchi wa Moshi mara baada ya kumtangaza mrithi wake katika jimbo la Moshi mjini.
Mamia ya wananchi wakimsikiliza Ndesamburo.
| Mstahiki Meya, Michael akiwa amekaa kando ya Mbunge , Philemoni Ndesamburo . Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini. |


Toa Maoni Yako:
0 comments: